Posted on: October 22nd, 2018
Pichani ni Afisa Elimu Msingi Wilaya Akiwashukuru Walimu na Watumishi wote kwa ujumla walioshirikiana Vema kufanikisha Matokeo mazuri .
Baraza la Mitihani La Taifa (NECTA) limetangaza matokeo...
Posted on: April 12th, 2018
Pichani ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Ndg. Martine Shigela akizungumza jambo mara baada ya kutoa tuzo kwa washidi.
Afisa Elimu Mkoa Bi. Mayasa Hashimu amewatangaza rasmi washindi  ...
Posted on: April 6th, 2018
Pichani ni baadhi ya wadau mbalimbali wa Elimu ndani ya Halmashauri ya Wilaya Mkinga katika kikao cha pamoja na Mh. Mkuu wa Wilaya Ndg. Yona Maki akiwa sambamba na Mwenyekiti wa Halmashauri Ndg Endrew...