• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Afya

Lengo kuu la Sera ya Taifa ya Afya (1990) nchini Tanzania ili kuboresha afya na ustawi wa watu wake kwa lengo maalum juu ya makundi ya kijamii katika hatari (chini ya watoto watano, mama katika kuzaa umri, watoto yatima na kadhalika). Ili kufikia serikali hii na washirika wengine ikiwa ni pamoja na watu binafsi na jamii na kufanya kazi kwa pamoja kwa lengo la lengo.

Sekta ya Afya ni mojawapo ya idara katika Halmashauri inayotoa huduma za Afya kwa wananchi wa Wilaya ya Mkinga kwa kupitia vituo vya kutolea huduma za Afya vilivyopo katika kata 22 na vijiji 85.

 Sekta hii hapo awali ilikuwa na vituo vya kutolea huduma za Afya 29, katika mwaka wa fedha 2022/2023 imepata ongezeko la Zahanati mpya kumi na nne (14) na Hospitali ya Wilaya 1 na kufanya kuwa na  jumla ya idadi ya vituo vya kutolea huduma za 45.

Kati ya hivyo Hopsitali 1, vituo vya Afya ni 3, Zahanati 41 , hata hivyo ujenzi wa hospitali ya Wilaya unaendelea ambapo baadhi ya majengo yamekamilika kama ifuatavyo:- jengo la utawala, Jengo la wagonje (OPD) ,Jengo la Maabara,, Jengo la Stoo ya dawa,Kichomea taka,na Jengo la mionzi. Ujenzi wa majengo mengine unanaendelea. Hata Hivyo huduma za Afya zinategemewa kuanza kutolewa katika Hospitali mwezi Februari 2023.


KAZI NA WAJIBU WA IDARA YA AFYA

  • Kutoa Huduma mbalimbali za Tiba
  • Kushughulika na Huduma za Kinga
  • Kutoa elimu ya afya na Ushauri nasaha katika tiba
  •  Kufanya utafiti wa magonjwa na tafiti zingine katika eneo la afya ya binadamu

Vituo vya kutolea Huduma za Afya 

NA

JINA LA KITUO

AINA YA KITUO

UMILIKI

1

Maramba
Kituo cha Afya
Serikali

2

Mkinga
Kituo cha Afya
Serikali

3

Mjesani
Kituo cha Afya
Serikali

4

Vyeru
Zahanati
Serikali

5

Mtimbwani
Zahanati
KKKT & Serikali (PPP)

6

Kibiboni
Zahanati
Serikali

7

Doda
Zahanati
Serikali

8

Mwandusi
Zahanati
Serikali

9

Magodi
Zahanati
Serikali

10

Mkingaleo
Zahanati
Serikali

11

Manzabay
Zahanati
Serikali

12

Boma
Zahanati
Serikali

13

Vuo
Zahanati
Serikali

14

Moa
Zahanati
Serikali

15

Mayomboni
Zahanati
Serikali

16

Duga Maforoni
Zahanati
Serikali

17

Duga Sigaya
Zahanati
Serikali

18

Kilulu duga
Zahanati
Serikali

19

Horohoro Kijijini
Zahanati
Serikali

20

Horohoro border
Zahanati
Serikali

21

Mwakijembe
Zahanati
Serikali

22

Gombero
Zahanati
Serikali

23

Mwanyumba
Zahanati
Serikali

24

Bamba mavengero
Zahanati
Serikali

25

Mhinduro
Zahanati
Serikali

26

Kilanga
Zahanati
Serikali

27

Magati
Zahanati
Serikali

28

Daluni
Zahanati
Serikali

29

Kigongoi
Zahanati
Serikali

30

Mazola
Zahanati
Serikali

31

Kwale
Zahanati
Serikali

32

lugongo estate
Zahanati
Serikali

33

Segoma
Zahanati
Serikali

34

mwakikoya
Zahanati
Serikali

35

Bantu
Zahanati
Serikali

36

Mwakikonge
Zahanati
Serikali

37

Perani
Zahanati
Serikali

38

Mavovo
Zahanati
Serikali

39

Magaoni
Zahanati
Serikali

40

Muzikafishe
Zahanati
Serikali

41

Kwekiyu
Zahanati
Serikali

42

Mzingo mwagogo
Zahanati
Serikali

43

Hemsambia
Zahanati
Serikali

44

Kibewani Dispensary
Zahanati
Serikali

45

Hospitali ya Wilaya
Hospitali
Serikali


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017