• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Historia

1.0 UTANGULIZI


 Wilaya ya Mkinga ni mojawapo ya Wilaya nane za Mkoa wa Tanga ambayo ilianzishwa rasmi tarehe 01/07/2006 baada ya kugawanywa kutoka Wilaya ya Muheza. Wilaya hii imepakana na Wilaya za Muheza na Tanga kwa upande wa Kusini, Wilaya za Korogwe na Lushoto upande wa Magharibi, Jamhuri ya Kenya upande wa Kaskazini na Bahari ya Hindi upande wa Mashariki,Wilaya iko kati ya Latitude -4.7952766 na Longitude 38.904164

2.0 MUUNDO WA UTAWALA

Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga ilianzishwa rasmi tarehe 1.7.2017 inazo Tarafa 2, Kata 22, Vijiji 85 na Vitongoji 335  Kwa Mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012, Wilaya ya Mkinga ilikuwa na  Jumla ya wakazi 118,065, kati yao Wanawake walikuwa 60,305 na Wanaume 57,760 . Aidha kwa kuzingatia ongezeko la watu la asilimia 1.27 Wilaya ina idadi ya watu 127,352 kati yao Wanaume 62,303 na Wanawake 65,049 kwa mwaka 2017.

3.0 HALI YA HEWA

Wilaya iko kwenye mwinuko wa mita  192  sawa na futi 630 kutoka usawa wa bahari na hali ya joto ni Wastani wa joto ni nyuzi 24ºC hadi 28ºC wakati wa baridi (Desemba-Machi) na wakati wa joto (Mei – Oktoba) kati ya nyuzi 29ºC hadi 30ºC. Wilaya ina misimu miwili ya mvua: Mvua za vuli na Mvua za Masika. Mvua hizo hunyesha kwa wastani wa kati ya milimita 400 hadi 1,400 kwa mwaka.Pia hupata wastani wa mvua wa 800-1000 mm kwa mwaka. Aina kuu za udongo zinazopatikana ni tifutifu (loamy), mfinyanzi – tifutifu (clay-loamy) na kichanga (sand).

ORODHA YA WAKURUGENZI

No

Jina kamili

Mwaka alioanza

Mwaka alioondoka

1

Philbert Sebastian Ngaponda

2007

2012

2

Amina Kiwanuka

2012

2016

3

Emanuel Mkumbo

2016

2016

4

Rashid Karim Gembe

2017

2021

5

Zahara Abdul Msangi

2021

2023

6

Rashid Karim Gembe

2023

Mpaka sasa


Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017