• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Mkutano Mkuu wa Kata ya Kwale uliohudhuriwa na Mh. Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Kanali Maulid Hassan Surumbu pamoja na Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya.

Posted on: September 3rd, 2021

Pichani aliesimama ni Mh Mkuu wa Wilaya Kanali Maulid Hassan Surumbu, akisisitiza jambo kwenye Mkutano mkuu wa Kata katika Kata ya Kwale.

Mkutano huu umehudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kata wakiwemo viongozi wa chama na serikali lengo ;likiwa ni kuwapongeza wananchi wa kata ya kwale kwa kukusanya mapato vizuri na kuisaidia Wilaya kufikia asilimia 80% na kuitanga kuongeza walau kufikia alisimia 90 na zaidi. mapato mengi katikaukana wa pwani hasa kata ya Kwale na Nyingine husababisha=wa hasa na kilimo bahari pamoja na Uvuvi.

pamoja na changamooto mbalimbali zinazoikabili sekta ya uvuvi pia Mh Mkuu wa Wilaya amewataka wananchi wa Kwale kuepuka kushiriki uvuvi haramu hasa ule wa kutumia mabomu na nyavu zisizofaa.

mwisho aliwahasa wananchi wa Mkinga kwa ujumla juu ya Ulinzi shirikishi hasa katika jamii yetu na kuwataka kutambua kwamba " wanaojihusisha na uvuvi haramu, matumiziu ya nyavu zisizofaa na hata wizi ni ndugu zete, watoto wetu, marafiki zetu hivyo basi nawahasa kuanza kuambiana na kukanyana wenyewe kwa wenyewe ili mwisho wa nsiku tusije kulaumiana"

mwisho aliwatakia wanakwale amani na mshikano uliopo uendelee na kuepuka kupokea wageni hasa tusiowajua wanaotumia bahari kuja kwetu na kama utamuona jitahidi kutoa taarifa katika vyombo vya ulinzi vinavyohusika.



Baadhi ya wananchi ambao ni wavuvi na Wakulima wa Mwani pamoja Viongozi wa Kata ya Kwale waliohudhuria Mkutano Mkuu wa Kata  ya Kwale.


Aliesimama ni Mh. Diwani Kata ya Kwale akizungumza jambo katika Mkutano  Ktika kata ya Kwale.



Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017