• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

"KASI NA UBORA WA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA MIRADI UENDANE NA THAMANI YA FEDHA ZA MHE. RAIS SAMIA". - MKURUGENZI BI. ZAHARA MSANGI..

Posted on: August 12th, 2023

Na: Nassoro Rashid

       MDC Habari

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Bi. Zahara Abdul Msangi ameendelea kusisitiza Kasi na Ubora katika utekelezaji wa Miradi ya Miundombinu ya Shule za Msingi inayotekelezwa katika Vijiji mbalimbali kwenye Halmashauri kupitia fedha za Ruzuku toka serikali kuu.

Mkurugenzi huyo ameyazungumza hayo siku ya Jumamosi Agosti 12, 2023 wakati akiwa kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi hiyo ambapo alitembelea kwenye vijiji na kata mbalimbali za wilaya ya Mkinga kukagua maendeleo na kasi ya ujenzi kwa kuongozana na Afisa Elimu Msingi na Injinia wa Majengo wa Wilaya.

Aidha katika ukaguzi huo Bi. Zahara amesisitiza miradi ikamilike kwa wakati huku akisema ubora wa miradi hiyo iendane na thamani ya fedha zinazotumika.

"Fedha hizi tulizoletewa ni nyingi sana, hivyo hatuna budi kutekeleza wajibu wetu ipasavyo ili kufikia matarajio ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kufikisha maendeleo kwa Wananchi wote hususan wanaoishi vijijini, tukitekeleza miradi hii kwa wakati na ubora uliokusudiwa Watoto wetu watasoma vizuri, watafaulu na hatimaye tutaijenga Mkinga imara yenye maendeleo makubwa". Alisema Bi. Zahara

Jumla ya fedha shilingi Bilioni 1.35 zilipokelewa kwa mwaka wa fedha 2022-2023 na Halmashauri kutekeleza miradi ya elimu msingi lengo ikiwa ni kujenga na kukarabati miundombinu hiyo ili kuimarisha na kuendeleza kasi ya maendeleo ya sekta ya elimu wilayani humo.

 

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017