• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

MKUU WA WILAYA YA MKINGA MHE. KALIMA AZINDUA KAMPENI YA UMEZESHAJI KINGATIBA ZA USUBI

Posted on: August 13th, 2024

Na: Nassoro Rashid - Mkingadc Habari

Leo Agosti 13, 2024 Mkuu wa wilaya ya Mkinga Mhe. Gilbert Kalima amezindua kampeni ya umezeshaji wa kingatiba za magonjwa ambayo hayapewi kipaumbele ikiwemo ya usubi.

Kampeni hii ni mwendelezo wa zoezi lililofanyika mwezi Februari mwaka huu ikiwa ni kukamilisha zoezi hilo ambapo kila mwaka kingatiba za usubi hutolewa kwa awamu mbili.

Aidha katika uzinduzi huo Mhe. Kalima ameihasa jamii ya wilaya ya Mkinga kuungana katika kumeza kingatiba hizo ili kuweza kuondokana na athari zinazoweza kusababishwa na ugonjwa huo ikiwemo minyoo, upofu na matatizo ya ngozi.

"Niwaombe Wananchi wa Mkinga kuhakikisha wanashirikiana na Wataalamu wetu wanaopita nyumba kwa nyumba kwa ajili ya umezeshaji wa kingatiba hizi ili kuepuka madhara yanayotokana na usubi, kwani usikivu wao unatupa imani kwamba tutafanikisha kampeni hii kwa matokeo mazuri". Alisema Mhe. Kalima

Sambamba na hilo amesema kuwa zoezi hili linawahusu Watu wote wenye umri kuanzia Miaka 5 na kuendelea na litafanyika nyumba kwa nyumba kupitia Watalaam waliopewa mafunzo maalum.

Naye Mganga Mkuu wa wilaya Dkt. Salvio Wikesi amesisitiza kuwa kingatiba hizi ni salama na hazina madhara yoyote kwani unapopatiwa kingatiba hizi husaidia kutibu minyoo ya aina yote, kuzuia matatizo ya ngozi na  upofu.

Kampeni hii imeanza rasmi Agosti 12 na inatarajiwa kutamatika Agosti 18, 2024 hivyo jamii inahimizwa kuunga mkono katika kuhakikisha wanapatiwa kingatiba hizi katika nyumba zao.

JAMII ILIYOBORA NI JAMII INAYOJALI AFYA YAKE.

#Kaziiendelee

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017