• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

MHE. BALOZI DKT. BATILDA BURIAN AIPONGEZA HALMASHAURI YA (W) YA MKINGA KWA KUPATA HATI SAFI YA UKAGUZI WA HESABU ZA SERIKALI

Posted on: June 13th, 2024

 

Na: Nassoro Rashid - MDC Habari

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe. Balozi Dkt. Batilda Burian ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Mkinga kwa kupata hati safi ya ukaguzi wa hesabu za serikali kwa mwaka wa fedha 2022/2023.

Ameyasema hayo leo Juni 13, 2024 wakati akihutubia katika mkutano wa baraza maalumu la hoja la madiwani uliofanyika katika ukumbi uliopo Halmashauri ya wilaya ya Mkinga.

Mhe. Dkt. Batilda ametumia nafasi hiyo kuwapongeza viongozi pamoja na wataalamu kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuhakikisha Halmashauri hiyo inapiga hatua kimaendeleo katika nyanja mbalimbali huku akiwapongeza kwa kupata hati safi ya mkaguzi wa hesabu za serikali.

"Sisi kwa mkoa wetu kati ya Halmashauri 11, 10 zimepata hati safi yani hati inayoridhisha ikiwemo na Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, hongereni sana, nawapongeza Mhe. Mwenyekiti, Mkurugenzi, Wah. Madiwani pamoja na Wataalamu kwa kazi nzuri ambayo mmefanya na kufanikiwa kupata hati safi kwa mwaka wa fedha 2022/2023". Alisema Mhe. Dkt. Batilda

Kadhalika Mkuu huyo wa Mkoa amesema kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amekuwa akitoa fedha nyingi sana kutekeleza miradi ya maendeleo hivyo ametoa wito kwa viongozi na Wataalamu kuendelea kusimamia ipasavyo na kuhakikisha fedha hizo zinafanya kazi zinazokusudiwa.

Sambamba na hayo Mhe. Batilda ameelekeza kuanzishwa kwa kituo maalum cha utoaji wa huduma za serikali (One Stop Centre) kwenye kila Halmashauri ili kusaidia utoaji wa huduma mbalimbali za mfumo mtandao ikiwemo wa TAUSI ili kusaidia upatikanaji wa leseni za biashara na huduma zingine kwa haraka.

Katika hatua nyingine Mhe. Batilda amekemea vikali vitendo vya unyanyasaji wa kijinsia kwa watoto na kuitaka jamii kwa umoja wao kutoa ushirikiano na kuungana na serikali katika kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria kwa wakati.

#kaziiendelee

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017