• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Kituo cha Afya Maramba kimeanza kutoa huduma ya upasuaji

Posted on: July 24th, 2017

Wilaya ya Mkinga ambayo haina hospitali ya Wilaya yenye vituo vitatu vya Afya ambavyo  ni Mjesani, Maramba na Kiwegu. Kwa muda mrefu imekuwa ikitegemea kupata huduma za upasuaji katika Hospitali ya Mkoa Bombo. Ukosefu wa huduma ya upasuaji katika vituo vya afya imekua adhaa kubwa kwa wananchi wa wilaya ya Mkinga wanaokadiriwa kufika 118,065 kulingana na Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2012.

Pia ukosekanaji wa huduma ya upasuaji kwa mama wajawazito imekuwa ikisababisha vifo na matatizo mbalimbali ya uzazi kwa akina mama kwa kuwa ilihitajika kumsafirisha mgonjwa hadi Hospitali ya Rufaa Bombo ili kupata matibabu.

Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga iliazimia kuanza kuvijengea uwezo vituo vyake vya Afya ili viweze kutoa huduma ya upasuaji kwa kuanza na kituo cha Afya Maramba. Uboreshaji wa kituo cha Afya Maramba ulianza kwa kuongeza eneo la kituo, Ujenzi wa Chumba cha Upasuaji, kukukarabati miundombinu ya kituo, Ununuzi vifaa tiba pamoja na kuongeza  wataalum mbalimbali wa kada ya afya ili kufikia viwango vinavyokubalika.

Baada ya kumalizika kwa uboreshaji wa kituo cha Afya Maramba mnamo tarehe 21/07/2017,  Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga ndugu Rashid K. Gembe alikadhi miundombinu iliyojegwa na kukarabatiwa kwa Kamati ya Afya ya Kituo.  Ambapo kwa sasa kituo kina uwezo wa kufanya upasuaji kwa wajawazito wapatao 15 kwa siku na upasuaji mdogo mdogo kiwemo mabusha na hernia kwa wateja 30 kwa siku.

Tarehe 22/07/2017 saa 9:05 alfajiri Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mkinga Dr. Joseph Ligoha na Dr. Humphrey Masuki wakisirikiana na jopo la wataalam wa Kituo hicho walifanikiwa kufanya upasuaji wa kwanza kwa mama mjamzito. Upasuajia ambao umenyika kwa mafanikio makubwa.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga anatoa pongezi za dhati kwa wadau wote wa maendeleo waliofanikisha kutoaji huduma ya upasuaji katika kituo cha Afya Maramba, Pia anachukua fursa hii kuwaomba kuendelea kuchangia katika upajikanaji na uboreshaji wa huduma za afya.

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017