• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA YAADHIMISHA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA NCHINI

Posted on: July 4th, 2024

 


Na: Nassoro Rashid - Mkinga DC Habari

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga Ndugu Omari Mashaka leo Julai 4, 2024 ameungana na watumishi pamoja na Wananchi kufanya usafi katika kituo cha Afya Mkinga ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha wiki ya Utumishi wa Umma nchini.

Akizungumza mara baada ya zoezi hilo Ndugu Mashaka amewapongeza wananchi pamoja na watumishi kwa kushiriki ipasavyo zoezi la usafi huku akielezea kuwa usafi ni sehemu ya maisha ya kila siku hivyo amewasihi kujenga utamaduni huo mara kwa mara.

"Niwapongeze na kuwashukuru kwa kushiriki katika zoezi hili lililojumuisha viongozi wa kijiji, kata, wananchi pamoja na watumishi, niwaombe jitihadi mlizozionesha hapa muendelee nazo, naamini kwa umoja wetu tutaendelea kuiweka mkinga safi na ya kupendeza zaidi". Alisema Ndugu Mashaka

Sambamba na hilo Kaimu Mkurugenzi huyo aliongoza kikao Julai 03, 2024 ambacho kililenga kusikiliza na kutatua changamoto za watumishi kazini pamoja na kuhakikisha watumishi wanajisajili na kujaza mipango kazi katika Mfumo wa Upimaji wa Utendaji Kazi kwa Watumishi wa Umma (PEPMIS) ikiwa ni sehemu ya maadhimisho hayo.

Maadhimisho haya yamekuwa yakiratibiwa na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambayo hufanyika kila mwaka kuanzia tarehe 16 hadi 23 Juni ikiwa ni moja ya matukio katika kalenda ya Umoja wa Afrika (AU) ambapo nchí wanachama huadhimisha kwa kufanya kongamano na maonesho ya kazí mbalimbali kuhusu Utumishi wa Umma.

Kauli mbiu ya maadhimisho kwa mwaka huu ni "Kuwezesha kwa Utumishi wa Umma Uliojikita kwa Umma wa Afrika ya Karne ya 21 lliyojumuishi na Inayostawi; Ni Safari ya Mafunzo na Mabadiliko ya Kiteknolojia".

 

#Kaziiendelee

Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017