• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Dc Mkinga awaonya Wananchi kuacha kujihusisha na Biashara haramu za usafirishaji wa Binadamu , Mirungi na Utoshaji wa Mifugo

Posted on: October 18th, 2022

Mh. Mkuu wa Wilaya ya  Mkinga Kanali Maulid Hassan Surumbu ametoa maelekezo hayo leo tarehe 18.10.2022 wakati akiwa kwenye Ziara yake ya Kikazi katika Kata ya Duga maforoni. mkuu wa Wilaya huyo amefanya ziara yake hiyo ikiwa ni katika utendaji kazi wake wa kawaida lengo likiwa ni kukutana na Wananchi na kuzungumza nao ili kuweza kufahamu changamoto mbalimbali wanazokutana nazo Wananchi hao. sambamba na mkutano huo mkuu wa kijiji Mkuu wa Wilaya pia amekutana na Jumuiya ya Watu wenye Ulemavu ambao ni wanufaika wa Asilimia 2% za mkopo unaotolewa na Halmashauri ili kuweza kutambua pia changamoto ambazo wanakutana nazo. kiongozi wa Walemavu hao alimuomba Mh mkuu wa Wilaya huyo kuhakikisha wanapatiwa Elimu ya Namna ya kufanya Marejesho kwa njia ya Mfumo Mpya kwani wao bado hawafahamu ili waweze kufanya Marejesho yao kwa urahisi. sambamba na hilo Mh. Mkuu wa Wilaya alimuagiza Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ndg Hassan Hassan kuhakikisha wananchi hao wanapatiwa Elimu hiyo haraka Iwezekanavyo.

Aidaha Mkuu wa Wilaya aliweza kutembelea Miradi Mblaimbali ya Maendeleo ambayo inatekelezwa katika Kata hiyo ambayo ni 

  • Ujenzi wa soko la Chakula
  • Eneo la machinjio ya Wanyama 
  • Eneo litakapojengwa Soko la Mazao Horohoro Boda pamoja na 
  • ujenzi wa vyumba viwili vya Madarasa ya Shule ya Sekondari ya Dga Maforoni.

Marabaada ya ukaguzi huo wa Miradi Mh. Mkuu wa Wilaya ametoa maagizo mbalimbali  kwa Mkurugenzi wa Halmashauri pamoja na wataalamu wake:-

  1. kuhakikishabsoko la chakula Duga maforoni linaanza kufanya kazi maramoja.
  2. Marekebisho yafanyike katika machinjio ya Wanyama.
  3. kuhakikisha Wataalamu wa Halmashauri hasa wa ujenzi wanashiriki mojakwamoja kwenye miradi ya ujenzi ambayo inatekelezwa kwa nguvu za wananchi ili kuhakikisha miradi hiyo inajengwa kwa kuzingatia kanuni na sheria za ujenzi wa miradi ya serikali.

Aidha amewataka vijana kujiunga kwenye vikundi mbalimbali ili waweze kupatiwa Mkopo nafuu waweze kufanya biashara halali.



Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa ya Shule mama ya sekongari Duga Maforoni.

Soko la Chakula Duga Maforoni 


Mh. Mkuu wa Wilaya akikagua Vizimba vya Soko la Chakula Duga Maforoni 




Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017