• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

DC KALIMA AWATAKA WAZAZI NA WALEZI WILAYA YA MKINGA KUUNGA MKONO AGENDA YA LISHE MASHULENI

Posted on: August 13th, 2024

Na: Nassoro Rashid - Mkingadc Habari

Mkuu wa wilaya ya Mkinga Mhe. Gilbert Kalima amewataka wazazi na walezi kuhakikisha wanaunga mkono jitihada za serikali katika kuendeleza agenda ya lishe mashuleni ili kuimarisha uwezo wa watoto kuweza kufanya vizuri katika masomo yao.

Mhe. Kalima ameyasema hayo wakati akiongoza kikao cha utekelezaji wa shughuli za lishe wilaya ya Mkinga Agosti 13, 2024 kilichofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa Wilaya kukamilisha robo ya nne ya mwaka wa fedha 2023/2024.

Aidha ametumia nafasi hiyo kuikumbusha jamii ya Mkinga kuendelea kushirikiana katika utekelezaji wa shughuli za lishe kuanzia ngazi ya msingi hadi wilaya huku akiitaka jamii, viongozi wa ngazi ya vijiji, kata na wilaya kushirikiana kwa dhati kumuunga mkono Mhe. Rais Dkt. Samia katika utekelezaji wa agenda ya lishe kwa vitendo.

"Niwakumbushe viongozi wenzangu kuanzia ngazi ya vijiji, kata hadi wilaya kuwa agenda ya lishe ni ya kudumu, hivyo tunapaswa kushirikiana na jamii ili kuhakikisha tunaifanikisha agenda hii kwa vitendo kupitia uhamasishaji ili jamii iweze kuielewa zaidi na kuleta matokeo chanya." Alisisitiza Mhe. Kalima

Sambamba na hilo Mkuu huyo wa wilaya amesisitiza kila kaya kuweka umuhimu wa ujenzi na matumizi ya vyoo safi na salama ili kuepuka magonjwa ya mlipuko huku akiongeza kuwa matumizi sahihi ya vyoo safi ni msingi imara wa ustaararabu kwa mwanaadamu.

Katika hatua nyingine ametoa wito kwa Wananchi kuacha tabia ya kuanika vyakula kando kando ya barabara kwani ni hatari kiafya kutokana na kupokea sumu inayotokana na moshi wa vyombo vya moto vinavyotumia barabara hizo.

#Kaziiendelee



Tangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA October 16, 2023
  • HATI MILIKI ZA ARDHI ZILIZOKAMILIKA WILAYA MKINGA December 04, 2022
  • KUSAFISHA MAENEO KWA WAMILIKI WA VIWANJA MKINGA August 12, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA July 18, 2024
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • WITO WATOLEWA KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUPIGA VITA UKATILI WA KIJINSIA, MATUMIZI YA MADAWA YA KULEVYA NA ULAWITI (W) MKINGA

    August 21, 2024
  • JAMII YAASWA KUCHUKUA TAHADHARI DHIDI YA UGONJWA WA HOMA YA NYANI WILAYA YA MKINGA

    August 20, 2024
  • MKUTANO WA BARAZA MAALUM LA KUPITISHA MAPENDEKEZO YA RASIMU YA SHERIA NDOGO ZA UHIFADHI WA BAHARI (BMU)2024

    August 20, 2024
  • BARAZA LA MADIWANI, MKURUGENZI MTENDAJI, WATAALAM NA WATUMISHI WOTE WANAKUKARIBISHA MHE. HEMED SULEIMAN ABDULLAH HALMASHAURI YA (W) MKINGA

    August 16, 2024
  • Angalia Zaidi

Video

Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Mamlaka ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera, Tanga -HorohoroRoad

    Postal Address: P O Box 6005 Tanga

    Simu: +255 027-2660501

    Simu: +255 684 625 299

    Barua Pepe: Info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Huduma

Mkinga dc @ 2017