1. Fika ofisi ya Utamaduni kwa ajili ya kupatiwa maelekezo
Viambatanisho Muhimu
2. Nenda ofisi ya cashier kwa ajili ya kuprint bili
3. Kisha nenda bank kwa ajili ya kufanya malipo
4. Rudi kwa cashier kwa ajili ya kupatiwa risit halali
5. Muone Afisa Utamaduni ili akupatie kibali
Kasera , Tanga-Horohoro Road
Postal Address: P.o.Box 6005 Tanga
Simu: +255 27 2977200
Simu: +255 684625299
Barua Pepe: info@mkingadc.go.tz
Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Mkinga .Haki zote zimehifadhiwa.