• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe |
Mkinga District Council
Mkinga District Council

Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia ya Wilaya
    • Dira na Dhima
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Utawala
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Livestock and Fishary
      • Works and Fire Recure
      • Maji
      • Ardhi na Mali Asili
      • Usafi na Mazingira
      • Maendeleo ya Jamii na Ustawi wa Jamii
    • Vitengo
      • Teknolojia Habari Mawasiliano na Uhusiano
      • Ugavi
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Uchaguzi
      • Legal
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma
    • Huduma wa Maji
    • Huduma ya Afya
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Madiwani
    • Ratiba ya Vikao
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Utaratibu
    • Taarifa
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Maktaba ya Habari
    • Habari kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Picha za Matukio
    • Habari
    • Matukio

Teknolojia ya Habari Na Mawasiliano (TEHAMA)

KITENGO CHA TEHAMA

Kitengo cha Teknolojia ya Habari, Mawasiliano (TEHAMA)

Kitengo cha (TEHAMA) kimeanzishwa mwaka 2010 kwa kuunganisha kitengo cha Teknolojia ya Habari Mawasiliano na Mahusiano. Kitengo hiki kina watumishi wa kada mbili, Mafisa TEHAMA na Maafisa Habari

Majukumu ya Kitengo

  1. Kushughulikia utekelezaji wa Sera ya Serikali Mtandao, miongozo, kanuni na viowango vya matumizi na utekelezaji wa TEHAMA.
  2. Kuweka mifumo na mitandao ya Serikali Mtandao.
  3. Kutoa msaada wa matumizi sahihi ya teknolojia ya Habari na Mawasiliano.
  4. Kuhakikisha vifaa vya TEHAMA vinahudumiwa kiufundi na kwa wakati..
  5. Kutoa msaada wa kiufundi na utaalamu wa kununua Vifaa na Mifumo ya TEHAMA.
  6. Kuhudumia na Kuhuisha mifumo na miundombinu ya mawasiliano ya ndani ya Halmashauri
  7. Kuandaa miadi ya Mkurugenzi kukutana na kuongea na vyombo mbalimbali vya habari
  8. Kutoa ufafanuzi kwa vyombo vya habari na jamii kwa masuala mbalimbali yanayohusiana na Halmashauri kwa kufuata maelekezo ya Mkurugenzi
  9. Kuandaa machapisho mbalimbali kwa ajjili ya kuhabarisha jamii kuhusiana na masuala mbalimbali ya halmashauri (machapisho kama vile vipeperushi, jarida, )
  10. Kuandaa mkutano wa waandishi wa habari (Press Conference) baina ya Mkurugenzi/Mstahiki Meya na waandishi wa habari.
  11. Kuratibu na kusimamia waandishi wa habari katika shughuli mbalimbali za Halmashauri
NA. 
HUDUMA ZITOLEWAZO 
JINSI ZINAVYOPATIKANA 
1
Kutoa taarifa za robo au mwaka kwa wananchi na wadau wa maendeleo kuhusu masuala yanayogusa jamii.
- Tovuti ya Halmashauri (www.mkingadc.go.tz)
- Vipeperushi
- Barua pepe
- Magazeti, n.k.
2
Kusimamia ufikishwaji wa huduma za mawasiliano kwa wananchi
- kampuni za mawasiliano ya simu
3
Kusaidia jamii kuwa na weledi wa masuala ya mitandao na kuweza kujilinda dhidi ya mashambulizi.
- Tovuti ya Halmashauri
- Vipeperushi
- Semina na warsha.
4
Kutathimini na kusimamia viashiria vya hatari kuhusiana na miundombinu na mifumo ya TEHAMA
- Kuwasiliana na wataalam wa TEHAMA waliopo Halmashauri.
5
Kutoa miongozo kwa wananchi kuhusu mabadiliko ya njia za utoaji huduma mbalimbali za kielektroniki.
- Tovuti ya Halmashauri
- Matangazo
- Vipeperushi na semina.
6
Kusimamia mifumo ya kielektroniki ya usimamizi wa fedha na ukusanyaji mapato ya ndani, takwimu, n.k.
- Benki
- Mitandao ya Epicor, LGRCiS, BEMIS, HCMIS
- Mtandao wa intaneti
7
Kufanya usimikaji na uhuishaji wa programu za kompyuta, na matengenezo ya vifaa vya TEHAMA.
- Kufika Kitengo cha TEHAMA
- Kuwasiliana na wataalam wa TEHAMA kwa simu au barua pepe.
8
Kutoa ushauri kuhusu matumizi ya vifaa vya TEHAMA.
- Kufika Kitengo cha TEHAMA
- Kuwasiliana na wataalam wa TEHAMA kwa simu au barua pepe.

Pata Taarifa zinazohusiana na TEHAMA kwa kufuata viunganishi (link) hapa chini

Sera Ya Utangazaji Wa Habari

Mwongozo Wa Matumizi Bora Ya Tehama

Mwongozo Wa Kuendesha Tovuti

Kitini Cha Mafunzo Ya Uandishi Wa Tovuti

Orodha za namba za simu kwa ofisi zilizo kwenye mfumo wa Mawasiliano wa Serikali (GovNet)

Kitengo hiki kinaongozwa na Afisa TEHAMA wa wilaya ya Mkinga Bw. Ibrahim Hassan Maumba - 

Simu: +255 (0)717 834 540

barua pepe:  ibrahim.maumba@mkingadc.go.tz







Tangazo

  • ORODHA YA MAJINA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAURI YA WILAYA YA MKINGA MWAKA 2021 December 18, 2020
  • FOMU ZA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA HALMASHAUR YA WILAYA YA MKINGA December 15, 2020
  • KUITWA KWENYE USAHILI KWA WALIOOMBA NAFASI ZILIZOTANGAZWA TAREHE 12.10.2020 November 13, 2020
  • TANGAZO LA KAZI September 10, 2017
  • Angalia Zaidi

Habari Mpya

  • Mafunzo ya namna ya kuandikisha wananchi ,ugawaji wa net

    August 04, 2020
  • UZINDUZI WA BIMA YA AFYA YA JAMII ILIYOBORESHWA

    October 29, 2019
  • Kituo cha Afya Mjesani Rasmi kutoa huduma ya Upasuaji

    September 20, 2019
  • Kituo cha Afya Mjesani, Wakabidhiwa Gari la Wagonjwa

    September 20, 2019
  • Angalia Zaidi

Video

Kikao cha Wazee wa Maramba na Mhe. Mkuu wa Wilaya ndugu Yona Mark
Angalia zaidi

Kurasa za Haraka

  • Fomu za Maombi
  • Habari

Kurasa Mashuhuri

  • OR- TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Salary slip portal
  • Sekretarieti ya Ajira
  • Tovuti ya Taifa
  • Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Kasera , Tanga-Horohoro Road

    Postal Address: P.o.Box 6005 Tanga

    Simu: +255 27 2977200

    Simu: +255 684625299

    Barua Pepe: info@mkingadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimiliki ©2017 Halmashauri ya Mkinga .Haki zote zimehifadhiwa.